Malaika wa Bwana
(kwa Kilatini
Angelus Domini
au kifupi
Angelus
[1]
) ni
sala
ya
Kanisa Katoliki
[2]
kwa ajili ya kukumbuka kwa
heshima
fumbo
la
Umwilisho
.
Sala hiyo inaundwa na viitikizano vifupi vitatu vinavyohusika na fumbo hilo, vikifuatwa na
Salamu Maria
moja kila kimoja, halafu
[3]
kingine kikifuatwa na sala,
doksolojia
na hatima.
[4]
Desturi
hiyo kutoka
konventi
na
monasteri
za
watawa
ilienea kwenye
parokia
na
makanisa
mengine, ikisaidiwa na matumizi ya
kengele
mara
tatu
kwa
siku
: saa 12
asubuhi
, saa 6
mchana
na saa 12
jioni
. Waliosikia mlio wa kengele walizoea kusimama na kusali kabla hawajaendelea na shughuli zao.
[5]
Malaika
mtajwa ni
Gabrieli
, ambaye anasadikika alitumwa na
Mungu
kwa
Bikira Maria
kumpasha habari
kwamba ameteuliwa kupata
mimba
kwa uwezo wa
Roho Mtakatifu
na kumzaa
Yesu
(
Lk
1:26?38).
Versicle (?)
. Angelus Domini nuntiavit Mariæ,
Response (?)
. Et concepit de Spiritu Sancto.
Ave Maria, gratia plena, Dominus tecum. Benedicta tu in mulieribus, et benedictus fructus ventris tui, Iesus. * Sancta Maria, Mater Dei, ora pro nobis peccatoribus, nunc et in hora mortis nostræ. Amen.
?
. Ecce ancilla Domini.
?
. Fiat mihi secundum verbum tuum.
Ave Maria, gratia plena, Dominus tecum. Benedicta tu in mulieribus, et benedictus fructus ventris tui, Iesus. * Sancta Maria, Mater Dei, ora pro nobis peccatoribus, nunc et in hora mortis nostræ. Amen.
?
. Et Verbum caro factum est.
?
. Et habitavit in nobis.
Ave Maria, gratia plena, Dominus tecum. Benedicta tu in mulieribus, et benedictus fructus ventris tui, Iesus. * Sancta Maria, Mater Dei, ora pro nobis peccatoribus, nunc et in hora mortis nostræ. Amen.
?
. Ora pro nobis, Sancta Dei Genetrix.
?
. Ut digni efficiamur promissionibus Christi.
Oremus.
Gratiam Tuam, quæsumus, Domine, mentibus nostris infunde; ut qui, Angelo nuntiante, Christi Filii Tui incarnationem cognovimus, per passionem Eius et Crucem ad resurrectionis gloriam perducamur. Per eundem Christum Dominum nostrum.
?
: Amen.
[6]
Gloria Patri et Filio et Spiritui Sancto, sicut erat in principio et nunc et semper, et in saecula saeculorum. Amen.
?
. Malaika wa Bwana alimpasha habari Maria
?
. Naye akapata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu.
Salamu Maria, umejaa neema, Bwana yu nawe, umebarikiwa kuliko wanawake wote, na Yesu, mzao wa tumbo lako, amebarikiwa. Maria mtakatifu, Mama wa Mungu, utuombee sisi wakosefu, sasa na sa ya kufa kwetu. Amina.
?
. Ndimi mtumishi wa Bwana.
?
. Nitendewe ulivyonena.
Salamu Maria, umejaa neema, Bwana yu nawe, umebarikiwa kuliko wanawake wote, na Yesu, mzao wa tumbo lako, amebarikiwa. Maria mtakatifu, Mama wa Mungu, utuombee sisi wakosefu, sasa na sa ya kufa kwetu. Amina.
?
. Neno wa Mungu alitwaa mwili.
?
. Akakaa kwetu.
Salamu Maria, umejaa neema, Bwana yu nawe, umebarikiwa kuliko wanawake wote, na Yesu, mzao wa tumbo lako, amebarikiwa. Maria mtakatifu, Mama wa Mungu, utuombee sisi wakosefu, sasa na sa ya kufa kwetu. Amina.
?
. Utuombee, mzazi mtakatifu wa Mungu.
?
. Tujaliwe ahadi za Kristo.
Tuombe.
Tunakuomba, ee Bwana, utiee neema yako mioyoni mwetu, ili sisi tuliojua kwa maelezo ya malaika kwamba Mwanao amejifanya mtu, kwa mateso na ufufuko wake tufikishwe kwenye utukufu wa ufufuko. Kwa njia ya Kristo, Bwana wetu.
?
. Amina.
[6]
- H. Schauerle,
Angelus Domini
, in Lexikon der Marienkunde, Regensburg, 1967 pp. 217?21
- This article incorporates text from a publication now in the
public domain
:
Herbermann, Charles, ed. (1913). "
Angelus
".
Catholic Encyclopedia
. Robert Appleton Company.
Wikamusi
ya Kiswahili ina maelezo na tafsiri ya maana ya neno:
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
|
Makala hii kuhusu dini ya Ukristo bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
Malaika wa Bwana
kama historia yake, matokeo au athari zake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari
.
|