Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Zeno wa Roma
(
Roma
,
Italia
) ni
Mkristo
wa
Roma ya Kale
aliyefia
dini
yake.
Tangu kale anaheshimiwa na
madhehebu
mbalimbali ya
Ukristo
kama
mtakatifu
mfiadini
.
Sikukuu
yake huadhimishwa
tarehe
14 Februari
[1]
.
|
Makala hii bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuiongezea habari
.
|