Go-Komatsu ( 1 Agosti 1377 – 1 Desemba 1433 ) alikuwa mfalme mkuu wa 100 ( Tenno ) wa Japani . Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Motohito . Tangu 24 Mei 1382 alidai ufalme. Tarehe 21 Oktoba 1392 alimfuata Go-Kameyama , na kuwa mfalme hadi kujiuzulu tarehe 5 Oktoba 1412 . Aliyemfuata ni mwana wake, Shoko .