Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Eberigisili
[1]
(alifariki
593
hivi) alikuwa
Askofu mkuu
wa
Cologne
,
Ujerumani
, wa tano kati ya wale wanaojulikana kwa hakika, na wa kwanza mwenye
jina
la
Kifaranki
[2]
.
Tangu kale anaheshimiwa kama
mtakatifu
.
Sikukuu
yake huadhimishwa tarehe
24 Oktoba
[3]
.
- ↑
Ebergisel, Ebergisil, Ebregisel, Ebregisil, Ebregislus, Ebregiselus, Ebregisus, Evergislus, Evergisilus, Everigisil, Everigisilus
- ↑
[1]
Archived
12 Julai 2007 at the
Wayback Machine
..
- ↑
Martyrologium Romanum
- Regis de la Haye,
De bisschoppen van Maastricht
. Maastricht, 1985
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
|
Makala hii bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuiongezea habari
.
|