Tarehe
14 Septemba
ni
siku
ya 257 ya
mwaka
(ya 258 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 108.
- 407
-
Mtakatifu
Yohane Krisostomo
,
patriarki
wa
Konstantinopoli
na
mwalimu wa Kanisa
kutoka
Uturuki
- 891
-
Papa Stefano V
- 1164
-
Sutoku
, mfalme mkuu wa Japani (1123-1142)
- 1321
-
Dante Alighieri
,
mshairi
nchini
Italia
- 1523
-
Papa Adrian VI
- 1836
-
Aaron Burr
, Kaimu Rais wa
Marekani
- 1901
-
William McKinley
,
Rais
wa
Marekani
(
1897
-
1901
)
- 1905
-
Pierre Brazza
, mpelelezi
Mfaransa
mwenye asili ya
Italia
- 1926
-
Rudolf Christoph Eucken
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Fasihi
mwaka wa
1908
- 1929
-
Jesse Lynch Williams
, mwandishi kutoka
Marekani
- 2009
-
Patrick Swayze
, mwigizaji wa filamu kutoka
Marekani
- 2012
-
Louis Simpson
, mshairi kutoka
Marekani
WikiMedia Commons
|
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
14 Septemba
kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari
.
|