Tarehe
9 Februari
ni
siku
ya
arubaini
ya
mwaka
. Mpaka uishe zinabaki siku 325 (326 katika miaka mirefu).
- 1773
-
William Henry Harrison
,
Rais
wa
Marekani
(
1841
)
- 1874
-
Amy Lowell
, mshairi kutoka
Marekani
- 1910
-
Jacques Monod
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Tiba
mwaka wa
1965
- 1940
-
John Maxwell Coetzee
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Fasihi
mwaka wa
2003
- 1943
-
Squire Fridell
,
mwigizaji
wa
filamu
kutoka
Marekani
- 1944
-
Alice Walker
,
mwandishi
Mmarekani
, na mshindi wa
Tuzo ya Pulitzer
mwaka wa
1983
- 1945
-
Yoshinori Ohsumi
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Tiba
mwaka wa
2016
- 1956
-
Chenjerai Hove
, mwandishi kutoka
Zimbabwe
- 1985
-
Emmanuel Adebayor
,
mchezaji wa mpira
kutoka
Togo
Wakristo
wengi, wakifuata
mapokeo ya Roma
, huadhimisha
kumbukumbu
za
watakatifu
Apolonia wa Aleksandria
,
Wafiadini wa imani sahihi wa Aleksandria
,
Primo na Donato
,
Maroni
,
Teilo
,
Sabino wa Canosa
,
Ansberto wa Rouen
,
Alto
,
Rinaldo wa Nocera
,
Mikaeli Febres
n.k.
|
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
9 Februari
kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari
.
|