Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Tarehe
24 Septemba
ni
siku
ya 267 ya
mwaka
(ya 268 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 98.
Wakristo
wengi, wakifuata
mapokeo ya Roma
, huadhimisha
kumbukumbu
za
watakatifu
Anatalo wa Milano
,
Andoki, Tirso na Felisi
,
Rustiko wa Clermont
,
Lupo wa Lyon
,
Isarno wa Marseille
,
Jeradi Sagredo
,
Antonio Gonzalez
,
Pasifiko wa San Severino
n.k.
|
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
24 Septemba
kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari
.
|