Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Tarehe
19 Mei
ni
siku
ya 139 ya
mwaka
(ya 140 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 226.
Wakristo
wengi, wakifuata
mapokeo ya Roma
, huadhimisha
kumbukumbu
za
watakatifu
Papa Urbano I
,
Parteni na Kalogeri
,
Adolfo wa Arras
,
Dunstan wa Canterbury
,
Papa Selestini V
,
Ivo Helory
,
Teofilo wa Corte
,
Krispino wa Viterbo
,
Maria Bernarda Buetler
n.k.
|
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
19 Mei
kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari
.
|