한국   대만   중국   일본 
Idhaa ya Redio ya UM |
The Wayback Machine - https://web.archive.org/web/20171009181619/http://www.unmultimedia.org:80/radio/kiswahili/
Habari za wiki

Nimetiwa moyo na hatua za haraka za jamhuri ya Dominica baada ya vimbunga-Guterres »

Guterres-Dominica-145big

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa?Antonio Guterres?amezuru Jamhuri ya Dominica kama sehemu ya ziara yake katika visiwa vya Carribea.…

08/10/2017 / Kusikiliza /

Sijawahi kushuhudia uharibifu mkubwa kama nilivyoshuhudia Barbuda-Guterres »

sg 1

Nimekuwa katika maeneo yalioharibiwa na vita, na nimeshuhudia??nchini mwangu binafsi matetemeko ya ardhi, nimeona dhoruba, lakini sijawahi kushuhudia uharibifu…

07/10/2017 / Kusikiliza /
Ushindi wa tuzo ya #Nobel ni kiashiria kuwa NGOs zina nafasi- UM » Chondechonde jamii ya kimataifa saidieni Daadab na Kakuma- WFP »

Mahojiano na Makala za wiki

Muziki wapazia sauti watu wafanye kazi »

Msanii Henry Gama kutoka Uganda. Picha: John Kibego

Muziki ni moja ya sanaa zinazotumika kupitisha ujumbe kwa jamii. Wasanii kwa kuona kile kinachoendelea kwenye jamii yao hutunga mashairi na kupangilia…

06/10/2017 / Kusikiliza /

Kampeni ya kutokomeza Malaria ishirikishe wananchi- Dkt. Winnie »

Dkt. Winnie Mpanju Shumbusho, mwenyekiti wa ubia wa kutokomeza Malaria duniani, RBM akihijiwa na Idhaa ya Kiswahili. Picha: UNNews Kiswahili/Assumpta Massoi

Nchi 8 zilizo kusini mwa jangwa la Sahara, zimechukua hatua za kipekee ili kuondokana na ugonjwa wa Malaria ifikapo mwaka 2030. Nchi…

05/10/2017 / Kusikiliza /
Changamoto za wanafunzi wenye ulemavu na juhudi za kujikwamua » Ndoa za utotoni na vitendo vya ukeketwaji kwa wasichana nchini Kenya. »

Ndoa za utotoni na vitendo vya ukeketwaji kwa wasichana nchini Kenya. »

Picha: UM/Video capture

Kusini mwa Janga la sahara imebainika kuwa ndoa za utotoni na vitendo vya ukeketwaji kwa wasichana vimeshamiri hivyo kuwakosesha wasichana fursa? ya…

03/10/2017 / Kusikiliza /

Usipokuwa tayari kubadilika hakuna awezaye kukubadilisha- Rocky Dawuni »

Rocky Dawuni2

Malengo ya maendeleo endelevu yaani SDGs yapo 17 na Umoja wa Mataifa unatumia kila mbinu kuhakikisha kuwa kila mkazi wa dunia hii…

29/09/2017 / Kusikiliza /
Vijana wanaokabiliana na tatizo la ajira kujihusisha na miradi ya uvuvi Burundi » Jumuiya ya Madola kusongesha maendeleo ya wanawake: Dkt. Ojiambo »

Baraza Kuu -GA na Baraza la Usalama

Eneo la Baru Darfur Kaskazini, wafanyakazi wa misaada wa Umoja wa Mataifa wakizungumza na wakimbizi wa ndani. Picha na :UNAMID

UM washtushwa na kutekwa kwa mfanyakazi wa misaada Darfur: »

Mratibu mkazi na masuala ya kibinadamu wa Umoja wa mataifa nchini Sudan amesema ameshtushwa sana na kitendo cha kutekwa nyara kwa mfanyakazi wa misaada ya kibinadamu kutoka Uswis mnamo Jumamosi…

09/10/2017 / Kusikiliza /

Mikataba mingi ya kutetea haki za wanawake haitekelezwi- Mtaalamu »

Wanafunzi kutoka Shule ya ukunga huko El Fasher, Darfur Kaskazini, wanahudhuria sherehe iliyoandaliwa na UNAMID kuadhimisha Siku ya Wanawake ya Kimataifa. Picha: UM / Gonzalez Farran

Mtaalamu maalum wa Umoja wa Mataifa kuhusu ukatili dhidi ya wanawake Dubravka ?imonoviæ,amesema bado mikataba mingi ya kutetea haki za kundi hilo…

06/10/2017 / Kusikiliza /

Wataalam wa UM wanakutana kumjengea mwanamke uwezo katika sayansi »

Rubani wa kwanza Capt. Irene Koki na Vanessa Chilunda na msomaji wa masomo ya Sayansi.(Picha:Idhaa ya Kiswahili)

Wanaanga, wanadiplomasia, watunga sera na wataalam kutoka kote ulimwenguni wanakutana kuanzia leo kwenye makao makuu ya Umoja wa mataifa hapa New York…

04/10/2017 / Kusikiliza /

UNCHR yaonya kuhusu ukiukwaji wa haki za wakimbizi »

UNHCR yaonya kuhusu ukiukwaji wa haki za wakimbizi kama hawa.(Picha:UNHCR)

Shirika la Umoja wa mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR,?limeonya?vikali kuhusu? Ukiukwaji wa sheria za kimataifa za wakimbizi, unaofanywa? na askari kushambulia familia…

04/10/2017 / Kusikiliza /
Dkt. Kanem wa Panama ateuliwa Mkuu wa UNFPA » Mapigano mapya yazuka Jonglei, Sudan Kusini- UNMISS » Zama za kidijitali lazima zihakikishe manufaa kwa wote: UNCTAD »
Kipindi Kamili
Kipindi Kamili
Loading the player ...

Antonio Guterres

#UNGA72

Kuungana

Wiki Hii Oktoba 6, 2017

Mawasiliano mbalimbali

  • Wanaume wana nafasi kubwa kufanikisha elimu kwa mtoto wa kike- Malala

    Wanaume wana nafasi kubwa kufanikisha elimu kwa mtoto wa kike- Malala

    Soma Zaidi

  • Kampeni ya kutokomeza nyuklia yashinda tuzo ya amani ya Nobel

    Kampeni ya kutokomeza nyuklia yashinda tuzo ya amani ya Nobel

    Soma Zaidi

  • Huduma za afya Yemen sasa ni mapangoni

    Huduma za afya Yemen sasa ni mapangoni

    Soma Zaidi

  • Kazi ya ulinzi wa amani UM ni zaidi ya kubeba mtutu wa bunduki

    Kazi ya ulinzi wa amani UM ni zaidi ya kubeba mtutu wa bunduki

    Soma Zaidi

  • Vijana Tanzania wajifunza kilichosababisha mauaji ya halaiki

    Vijana Tanzania wajifunza kilichosababisha mauaji ya halaiki

    Soma Zaidi

  • Usawa wa kijinsia waleta manufaa nchini Tonga

    Usawa wa kijinsia waleta manufaa nchini Tonga

    Soma Zaidi

  • Fidel Castro alikuwa msemaji wa dunia ya tatu:Dr Salim

    Fidel Castro alikuwa msemaji wa dunia ya tatu:Dr Salim

    Soma Zaidi

  • Fursa adimu kuiwakilisha nchi yangu UM nitaikumbuka daima-Manongi

    Fursa adimu kuiwakilisha nchi yangu UM nitaikumbuka daima-Manongi

    Soma Zaidi

  • Mengi yameighubika Afrika 2016:Balozi Kamau

    Mengi yameighubika Afrika 2016:Balozi Kamau

    Soma Zaidi

  • Akiwa ukimbizini, ndoto ya kurejea nyumbani bado i hai

    Akiwa ukimbizini, ndoto ya kurejea nyumbani bado i hai

    Soma Zaidi

  • Kipindupindu Haiti; Umoja wa Mataifa waomba radhi na kuelezea mtazamo mpya

    Kipindupindu Haiti; Umoja wa Mataifa waomba radhi na kuelezea mtazamo mpya

    Soma Zaidi

  • Kubadilisha mtazamo-ukatili dhidi ya wanawake #GBV

    Kubadilisha mtazamo-ukatili dhidi ya wanawake #GBV

    Soma Zaidi

  • Wiki ya #Polisi wa Umoja wa Mataifa- UNMISS

    Wiki ya #Polisi wa Umoja wa Mataifa- UNMISS

    Soma Zaidi

  • Mobutu na Tshombe, viongozi wa DRC waliotwamisha nchi yao

    Mobutu na Tshombe, viongozi wa DRC waliotwamisha nchi yao

    Soma Zaidi

Hapa na pale

IAEA-2

Sayansi ya nyuklia ina dhima muhimu katika maendeleo- Amano »

Mkurugenzi Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la atomiki, IAEA Yukiya Amano amesisitiza dhima ya shirika lake katika kuimarisha usalama wa nyuklia duniani kwa maendeleo. Amano amesema hayo mjini…

09/10/2017 / Kusikiliza /

ICRC yapunguza shughuli zake Afghanistan »

Moja ya huduma za ICRC. Picha/ICRC

  Kamati ya kimataifa ya msalaba mwekundu ICRC, imeamua kupunguza shughuli zake nchini Afghanistan? baada ya mfululizo wa mashambulizi? dhidi ya wafanyakazi…

09/10/2017 / Kusikiliza /

IOM yatoa msaada wa dharura kwa wahamiaji Sabratah Lybia »

IOM lybia mpya

Shirika la Umoja wa Mataifa la Uhamiaji IOM, limetoa ?msaada wa dharura huko Sabratah lybia ,kilomita 80 magharibi mwa mji mkuuTripoli kwa…

09/10/2017 / Kusikiliza /
UNHCR yahitaji msaada wa dharura wa zaidi ya milioni 83 kusaidia Warohingya » Unyanyapaa kwa wenye VVU bado kikwazo cha kupata huduma : UNAIDS » FAO yasihi nchi zaidi zijiunge na mkataba wa kupinga uvuvi haramu » Mafuta ya mbogamboga yapiga jeki bei ya vyakula-FAO »

Taarifa maalumu