Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Wikimedia Commons
(pia huitwa "Wikicommons") ni hazina ya kuhifadhia na kutumia
faili
za
picha
, za
sauti
na nyinginezo.
Utumiaji wa faili hizo ni huru kwa
wikipedia
za
lugha
zote; tena si lazima kuzipakia kwenye wikipedia mojamoja kwa vile zinapatikana kutoka wikipedia zote.
Wikimedia Commons ni mradi wa
Wikimedia Foundation
.
Picha Bora Katika Mradi Wa Wikimedia Commons
[
hariri
|
hariri chanzo
]
Wikimedia Commons ina media kuhusu: