Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Makazi ya Kiteso.
Wateso
ni
kabila
kubwa la
watu
(4,000,000 hivi) wa
jamii
ya
Waniloti
wanaoishi
mashariki
mwa
Uganda
na
magharibi
mwa
Kenya
.
Lugha
yao ni
Kiteso
, mojawapo kati ya
lugha za Kiniloti
.
|
Makala hii kuhusu utamaduni wa
Kenya
bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
Wateso
kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari
.
|