Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Wasagalla
ni
kabila
la
watu
wa
jamii
ya
Wabantu
wanaoishi
kusini
mashariki
mwa
Kenya
, katika
milima ya Taita
kaunti ya Taita-Taveta
.
Lugha
yao ni
Kisagalla
, mojawapo kati ya
lugha za Kibantu
ambayo inafanana na
Kitaita
na pia
Kichaga
.
|
Makala hii kuhusu utamaduni wa
Kenya
bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
Wasagalla
kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari
.
|