Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Wanyisanzu
(
Anyihanzu
) ni
kabila
la
watu
wa
Tanzania
wanaoishi katika
Mkoa wa Singida
,
Wilaya ya Iramba
,
Tarafa ya Kirumi
.
Lugha
yao ni
Kinyisanzu
, mojawapo kati ya
lugha za Kibantu
.
|
Makala hii kuhusu utamaduni wa
Tanzania
bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
Wanyisanzu
kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari
.
|