Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Wamakwe
(pia huitwa
Wamaraba
) ni
kabila
la
watu
wa
Tanzania
wanaoishi katika
Mkoa wa Mtwara
. Kwa wingi zaidi wako
Msumbiji
.
Lugha
yao ni
Kimakwe
.
|
Makala hii kuhusu utamaduni wa
Tanzania
bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
Wamakwe
kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari
.
|