Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Wakimbu
ni
kabila
la watu wa
Tanzania
wanaoishi mpakani mwa
mikoa
mitatu, yaani
Mkoa wa Tabora
,
Mkoa wa Singida
na
Mkoa wa Mbeya
,
[1]
hasa kwenye
Wilaya ya Sikonge
,
Wilaya ya Manyoni
na
Wilaya ya Chunya
.
Lugha
yao ni
Kikimbu
.
[2]
[3]
|
Makala hii kuhusu utamaduni wa
Tanzania
bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
Wakimbu
kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari
.
|