Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Viet Thanh Nguyen
(amezaliwa
13 Machi
1971
) ni mwandishi kutoka nchi ya
Marekani
. Mwaka wa
2016
, alipokea
Tuzo ya Pulitzer ya Bunilizi
kwa
riwaya
yake
The Sympathizer
.
|
Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
Viet Thanh Nguyen
kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari
.
|