Venkatraman Ramakrishnan (amezaliwa 1952 nchini Uhindi ) ni mwanakemia wa nchi za Uingereza na Marekani . Hasa amechunguza ribosomi .
Mwaka wa 2009 , pamoja na Thomas Steitz na Ada Yonath , alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia .