Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Johann Carl Loth
:
Mfano wa Ushindi
.
Ufufuko
kadiri ya
Piero della Francesca
,
1460
Ushindi
(kutoka
kitenzi
kushinda
, yaani
kubaki
; kwa
Kiingereza
:
victory
) ni
neno
linalomaanisha kufanikiwa au kufaulu katika matukio kama vile
majaribu
,
mitihani
,
kesi
, mapigano au
mechi
.
Katika
Ukristo
ushindi mkuu ni ule alioupata
Yesu
kwa ajili ya
watu
wote dhidi ya
mauti
kwa
kufufuka kwake
.
[1]
- ↑
"Mauti imemezwa kwa kushinda. Ku wapi, ewe mauti, kushinda kwako? U wapi, ewe mauti, uchungu wako? Uchungu wa mauti ni
dhambi
, na
nguvu
za dhambi ni
torati
. Lakini
Mungu
ashukuriwe atupaye kushinda kwa
Bwana
wetu
Yesu Kristo
! (
1 Kor
15:54b-56)"