한국   대만   중국   일본 
Milima ya Usambara - Wikipedia, kamusi elezo huru Nenda kwa yaliyomo

Milima ya Usambara

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Usambara )
Milima ya Usambara.
Milima ya Usambara.

Milima ya Usambara ni sehemu iliyoinuka upande wa Kaskazini Mashariki wa nchi ya Tanzania .

Milima ya Usambara ni milima kunjamano yaani milima iliyoshikana kutoka mlima mmoja mpaka mwingine. Ni sehemu ya Tao la Mashariki .

Wenyeji wanaoishi maeneo haya ni Wasambaa , ndiyo maana ikaitwa milima ya Usambara. Iko katika mkoa wa Tanga kuanzia Korogwe kuelekea kaskazini mpaka karibu na milima ya Upare .

Milima hiyo ni:

Tazama pia [ hariri | hariri chanzo ]

Viungo vya nje [ hariri | hariri chanzo ]

Wikimedia Commons ina media kuhusu: