Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Storm
(
Kiswahili
:
Dhoruba
;
Ororo Iqadi T'Challa, Munroe
) ni
supa-shujaa
wa
Kenya
, anayetoka ulimwengu wa
Marvel Comics
. Alikuwa mwanachama wa timu ya pili ya
X-Men
na baadaye mkuu wa timu ya dhahabu. Storm ni
mutanti
mwenye uwezo kutawala ya
hali ya hewa
.
|
Makala hii kuhusu mambo ya utamaduni bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
Storm (komiki)
kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari
.
|