Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Prokopi Mkuu
(
Yerusalemu
,
Palestina
,
karne ya 3
-
Kaisarea Baharini
, leo nchini
Israeli
,
8 Julai
303
) alikuwa
Mkristo
aliyeuawa
kwa kukatwa
kichwa
katika
mji
huo mara alipoanza kutetea kwa
ushujaa
imani
yake
mahakamani
mwanzoni mwa
dhuluma
ya
kaisari
Diokletian
[1]
.
Kabla ya hapo aliishi kwa
uadilifu
na wema
[2]
, pamoja na kuwa
mtaalamu
wa
falsafa
na
teolojia
[3]
[4]
.
Tangu kale anaheshimiwa na
Wakatoliki
na
Waorthodoksi
kama
mtakatifu
mfiadini
.
Sikukuu
yake huadhimishwa
tarehe
8 Julai
[5]
au
22 Novemba
[3]
[4]
.
|
Makala hii bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuiongezea habari
.
|