Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Njozi ya Petro wa Aleksandria.
Petro I wa Aleksandria
alikuwa
Papa
wa 17 wa
Kanisa la Kikopti
na alifia
dini
ya
Ukristo
tarehe
25 Novemba
311
chini ya
kaisari
Dioklesyano
.
Pamoja naye waliuawa
maaskofu
Esiki, Pakomi na Theodori
,
mapadri
Fausto, Dio na Amoni
na wengine wengi.
Tangu kale anaheshimiwa na
Waorthodoksi wa Mashariki
,
Waorthodoksi
na
Wakatoliki
kama
mtakatifu
.
[1]
Sikukuu
yake huadhimishwa tarehe ya
kifodini
chake
[2]
[3]
.
- "Petros I (300?311)"
. Official web site of the Greek Orthodox Patriarchate of Alexandria and All Africa
. Iliwekwa mnamo
2011-02-08
.
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
|
Makala hii bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuiongezea habari
.
|