Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Pelusi wa Aleksandria
(alifariki
310
) alikuwa
padri
aliyefia
imani
yake katika
mji huo
wa
Misri
[1]
.
Tangu kale anaheshimiwa kama
mtakatifu
mfiadini
.
Sikukuu
yake huadhimishwa
tarehe
7 Aprili
[2]
[3]
.
|
Makala hii bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuiongezea habari
.
|