Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Urban II,
O.S.B.
(
1042
?
29 Julai
1099
) alikuwa
Papa
kuanzia
tarehe
12 Machi
1088
hadi
kifo
chake
[1]
. Alitokea
Chatillon-sur-Marne
,
Ufaransa
[2]
.
Jina
lake la kuzaliwa lilikuwa
Odo wa Lagery
.
Alimfuata
Papa Vikta III
akafuatwa na
Papa Paskali II
.
Papa Leo XIII
alimtangaza
mwenye heri
.
Sikukuu
yake huadhimishwa
tarehe
ya kifo chake
[3]
.
|
---|
|
karne ya 1 hadi ya 4
| | |
---|
karne ya 5 hadi ya 8
| |
---|
karne ya 9 hadi ya 12
| |
---|
karne ya 13 hadi ya 16
| |
---|
karne ya 17 hadi ya 20
| |
---|
karne ya 21
| |
---|
|
|
Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
Papa Urban II
kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuiongezea habari
.
|