Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Silvester III
(alifariki
1063
) alikuwa
Papa
kuanzia
tarehe
13
au
20 Januari
hadi
mwezi
Machi
1045
[1]
baada ya
Papa Benedikto IX
kufukuzwa
madarakani
mnamo
Septemba
1044
. Alitokea
Roma
,
Italia
[2]
.
Jina
lake la kuzaliwa lilikuwa
Yohane Crescenzi
.
Alilazimishwa kujiuzulu akafuatwa na
Papa Benedikto IX
aliyekuwa
mtangulizi
wake.
|
---|
|
karne ya 1 hadi ya 4
| | |
---|
karne ya 5 hadi ya 8
| |
---|
karne ya 9 hadi ya 12
| |
---|
karne ya 13 hadi ya 16
| |
---|
karne ya 17 hadi ya 20
| |
---|
karne ya 21
| |
---|
|
|
Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
Papa Silvester III
kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuiongezea habari
.
|