Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Marko
alikuwa
Papa
kwa miezi kadhaa tu, kuanzia
tarehe
18 Januari
336
hadi
kifo
chake tarehe
7 Oktoba
336
[1]
. Alitokea
Roma
,
Italia
.
Alimfuata
Papa Silvester I
akafuatwa na
Papa Julius I
.
Tangu kale anaheshimiwa kama
mtakatifu
.
Sikukuu
yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake
[2]
.
|
---|
|
karne ya 1 hadi ya 4
| | |
---|
karne ya 5 hadi ya 8
| |
---|
karne ya 9 hadi ya 12
| |
---|
karne ya 13 hadi ya 16
| |
---|
karne ya 17 hadi ya 20
| |
---|
karne ya 21
| |
---|
|
|
Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
Papa Marko
kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuiongezea habari
.
|