Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Klementi VI
(takriban
1291
?
6 Desemba
1352
) alikuwa
Papa
kuanzia
tarehe
7
/
19 Mei
1342
hadi
kifo
chake
[1]
. Alitokea
Maumont
,
Ufaransa
[2]
.
Jina
lake la kuzaliwa lilikuwa
Pierre Roger
.
Alimfuata
Papa Benedikto XII
akiwa Papa wa nne aliyetawala kutoka
mji
wa
Avignon
(leo nchini
Ufaransa
) akafuatwa na
Papa Innocent VI
.
|
---|
|
karne ya 1 hadi ya 4
| | |
---|
karne ya 5 hadi ya 8
| |
---|
karne ya 9 hadi ya 12
| |
---|
karne ya 13 hadi ya 16
| |
---|
karne ya 17 hadi ya 20
| |
---|
karne ya 21
| |
---|
|
|
Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
Papa Klementi VI
kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuiongezea habari
.
|