Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Innocent XI
(
16 Mei
1611
?
12 Agosti
1689
) alikuwa
Papa
kuanzia
tarehe
21 Septemba
/
4 Oktoba
1676
hadi
kifo
chake
[1]
. Alitokea
Como
,
Italia
[2]
.
Jina
lake la kuzaliwa lilikuwa
Benedetto Odescalchi
.
Alimfuata
Papa Klementi X
akafuatwa na
Papa Aleksanda VIII
.
Papa Pius XII
alimtangaza
mwenye heri
tarehe
7 Oktoba
1956
.
Sikukuu
yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake
[3]
.
|
---|
|
karne ya 1 hadi ya 4
| | |
---|
karne ya 5 hadi ya 8
| |
---|
karne ya 9 hadi ya 12
| |
---|
karne ya 13 hadi ya 16
| |
---|
karne ya 17 hadi ya 20
| |
---|
karne ya 21
| |
---|
|
|
Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
Papa Innocent XI
kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuiongezea habari
.
|