Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Adriano IV.
Papa Adrian IV,
Can.Reg.
(takriban
1100
?
1 Septemba
1159
) alikuwa
Papa
kuanzia
tarehe
4
/
5 Desemba
1154
hadi
kifo
chake
[1]
. Alitokea
Hertfordshire
,
Uingereza
[2]
.
Jina
lake la kuzaliwa lilikuwa
Nicholas Breakspear
. Ni
Mwingereza
pekee aliyepata kuwa Papa.
Alimfuata
Papa Anastasio IV
akafuatwa na
Papa Alexander III
.
|
---|
|
karne ya 1 hadi ya 4
| | |
---|
karne ya 5 hadi ya 8
| |
---|
karne ya 9 hadi ya 12
| |
---|
karne ya 13 hadi ya 16
| |
---|
karne ya 17 hadi ya 20
| |
---|
karne ya 21
| |
---|
|
|
Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
Papa Adrian IV
kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuiongezea habari
.
|