Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Adeodato I.
Papa Adeodato I
(pia aliitwa
Deusdedit
) alikuwa
Papa
kuanzia
tarehe
19 Oktoba
615
hadi
kifo
chake tarehe
8 Novemba
618
[1]
. Alitokea
Roma
,
Italia
[2]
.
Jina
la
baba
yake lilikuwa Stephanus, ambaye alikuwa
shemasi mdogo
.
Alimfuata
Papa Bonifasi IV
akafuatwa na
Papa Bonifasi V
.
Kabla ya kuchaguliwa, alitoa
huduma
ya
kipadri
kwa miaka 40
[3]
. Baadaye alikuza
idadi
ya mapadri na kuwapa nafasi zilizokuwa zimeshikwa na
wamonaki
kadiri ya sera ya
Papa Gregori I
na
Papa Bonifasi IV
[4]
[3]
.
Tangu kale anaheshimiwa na
Wakatoliki
na
Waorthodoksi
kama
mtakatifu
[5]
.
Sikukuu
yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake
[6]
.
|
---|
|
karne ya 1 hadi ya 4
| | |
---|
karne ya 5 hadi ya 8
| |
---|
karne ya 9 hadi ya 12
| |
---|
karne ya 13 hadi ya 16
| |
---|
karne ya 17 hadi ya 20
| |
---|
karne ya 21
| |
---|
|
|
Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
Papa Adeodato I
kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuiongezea habari
.
|