Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Nilo wa Sinai
(pia:
Nilo wa Ankara
,
Nilo Mzee
;
karne ya 4
?
430
hivi) anafikiriwa kuwa mfuasi wa
Yohane Krisostomo
[1]
.
Baada ya kuwa
meya
wa
jiji
la
Konstantinopoli
, alikwenda kuishi kama
mmonaki
kwenye
Mlima Sinai
pamoja na
mtoto
wake Theodulo, huku
mke
wake na mtoto mwingine wakienda kuishi vilevile nchini
Misri
.
Mwishoni
[2]
akawa
abati
wa
monasteri
karibu na
Ankara
,
Galatia
, leo nchini
Uturuki
[3]
, maarufu pia kwa
maandishi
yake
[4]
[5]
.
Tangu kale anaheshimiwa na
Kanisa Katoliki
na
Waorthodoksi
kama
mtakatifu
.
Sikukuu
yake ni
tarehe
12 Novemba
[6]
.
- ↑
Nikephoros Kallistos,
hist. Eccl.
, 14, 53, 54.
- ↑
Tillemont, ib., p. 405.
- ↑
https://www.ccel.org/ccel/wace/biodict.html?term=Nilus,%20an%20ascetic%20of%20Sinai
- ↑
The writings of St. Nilus of Sinai were first edited by
Petrus Possinus
(Paris, 1639); in 1673 Suarez published a supplement at Rome; his letters were collected by Possinus (Paris, 1657), a larger collection was made by
Leo Allatius
(Rome, 1668). All these editions are used in
Patrologia Graeca
, vol. 79.
- ↑
http://www.santiebeati.it/dettaglio/92745
- ↑
Martyrologium Romanum
- Nikephoros Kallistos
,
Hist. Eccl.
, XIV, xliv
- Leo Allatius
,
Diatriba de Nilis et eorum scriptis
in his edition of the letters (Rome, 1668)
- Tillemont
,
Memoires pour servir a l'histoire ecclesiastique
, XIV (Paris, 1693?1713), 189-218;
- Fabricius
-
Harles
,
Bibliotheca graeca
, X (Hamburg, 1790?1809), 3-17;
- Ceillier
,
Histoire generale des auteurs sacres
, XIII (Paris, 1729?1763), iii;
- Josef Fessler
-
Bernard Jungmann
,
Institutiones Patrologiœ
, II (Innsbruck, 1896), ii, 108-128.
|
Makala hii bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuiongezea habari
.
|