Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Yona
(kwa
Kiebrania
: ??????, Yon?; kwa
Kiarabu
: ????, Y?nus, Y?nis au ?????, Y?n?n?; kwa
Kilatini
: Ionas; alifariki
761 KK
hivi) ni
jina
la
nabii
wa
Israeli
aliyeishi katika
karne ya 8 KK
.
Pia ni
jina
la
mhusika
mkuu wa
kitabu cha Yona
katika
Biblia ya Kiebrania
(
Tanakh
) na hivyo pia katika
Agano la Kale
la
Biblia ya Kikristo
. Kutokana na
hadithi
hiyo, Yona anazungumziwa pia katika
Injili
na katika
Kurani
.
Hasa
simulizi
maarufu la yeye kutoka salama katika
tumbo
la
mnyama
mkubwa wa
baharini
limetumiwa na
Yesu
kama kidokezo cha
ufufuko
wake mwenyewe
[1]
Wakatoliki
wanamheshimu kama
mtakatifu
na kuadhimisha
sikukuu
yake
tarehe
21 Septemba
[2]
[3]
.
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
|
Makala hii kuhusu mtu wa Biblia bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
Nabii Yona
kama habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari
.
|