Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Momoju
ni
mji mkuu
wa
eneo la ng’ambo la Ufaransa
la kisiwa cha
Mayote
. Iko kwenye kisiwa kikuu cha
Maore
. Kuna takribani wakazi 45,000.
Mji una vijiji sita pamoja na kitovu cha mji mwenyewe, ndivyo
Kaweni
(hapa kuna viwanda),
Mtsapere
,
Pasamainti
,
Vahibe
,
Tsoundzou I na Tsoundzou II
.
Eneo lake hutawaliwa katika wilaya tatu za Momoju I, Momoju II na Momoju III.
Mabadiliko ya idadi ya wakazi
1991
|
1997
|
2002
|
20 307
|
32 733
|
45 485
|
Namba kamili zimepatikana tangu
1991
|
Wakazi katika vijiji
Village
|
1997
|
2002
|
Kavani
|
3 948
|
5 488
|
Kaweni
|
6 206
|
9 604
|
Momoju
|
5 666
|
6 533
|
Mtsapere
|
6 979
|
10 495
|
Pasamainti
|
5 173
|
6 008
|
Tsountsou I
|
2 093
|
3 058
|
Tsountsou II
|
574
|
1 063
|
Vahibe
|
2 135
|
3 236
|