Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Misheni
(kutoka
neno
la
Kiingereza
:
mission
ambalo
asili
yake ni lile la
Kilatini
missio
) ni mahali pa
umisionari
hasa wa
dini
ya
Ukristo
.
Mara nyingi ina makazi ya
wamisionari
na wahudumu wengine,
majengo
ya
ibada
na ya
huduma za kijamii
kama vile
hospitali
,
shule
n.k.
|
Makala hii kuhusu mambo ya dini bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu mada hii kama historia yake au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari
.
|