Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Marimba Ani
(jina la kuzaliwa:
Dona Richards
) ni
mwanamke
mwandishi
na
mwanaanthropolojia
nchini
Marekani
. Aliandika
kitabu
kinachoitwa "Yurugu".
|
Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
Marimba Ani
kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari
.
|