Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Lobna Abdel Aziz
|
Aziz katika filamu "Ana Horra" (1959)]]
|
Amezaliwa
|
Lobna Abdel Aziz
Agosti 1
1935
Misri
|
Kazi yake
|
Mwigizaji
|
Miaka ya kazi
|
1957 - 1967, 2007 mpaka sasa
|
Lobna Abdelaziz
au
Lobna Abd-el-aziz
alizaliwa mnamo tarehe
1 Agosti
mwaka
1935
ni
mwigizaji
wa
filamu
wa nchini
Misri
.
Baba yake alikuwa mwandishi wa
Misri
Hamed Abdelaziz
. Katika maisha yake ya awali aliolewa nje ya Misri na mtayarishaji tajiri maarufu wa Misri
Ramsis Nagib
.Alimtaliki baadaye nchini Misri kinyume na mapenzi yake na mapenzi yake ingawa walikuwa wakipendana na kufurahi pamoja.Alisoma habari za talaka yake katika jarida kabla yakuwa ameachwa
[1]
Ramsis Nagib
alishika dini yake ya Kikristo wakati wa ndoa ya
Lobna Abdelaziz
aliolewa nje ya Misri ili kushinda sheria za Misri zinazopiga marufuku ndoa kama hiyo, hii inathibitishwa na hukumu ya mahakama. Baada ya hapo aliolewa na
Ismael Barrada
ambaye alizaa naye watoto wawili wa kike. Ismael alifariki baada ya miaka 40 ya ndoa yao.
|
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
Lobna Abdel Aziz
kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari
.
|