한국   대만   중국   일본 
Lions Club International - Wikipedia, kamusi elezo huru Nenda kwa yaliyomo

Lions Club International

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Lions Club International ( kifupi : LCI ) ni klabu iliyoanzishwa mwaka 1917 katika mji wa Chicago nchini Marekani [1] kama taasisi isiyojiendesha kifaida.

Kwa sasa makao yake makuu yapo katika eneo la Oak Brook, Illinois .

Kufikia Januari mwaka 2020 taasisi hii ilikuwa na jumla ya wanachama milioni moja nukta nne , na klabu zipatazo 46,000 katika nchi zaidi ya mia mbili duniani kote [2] .

Tanbihi [ hariri | hariri chanzo ]

  1. "History of Lions Clubs International" . lions100.lionsclubs.org . Iliwekwa mnamo 2020-02-08 .
  2. "Mission and History | Lions Clubs International" . www.lionsclubs.org (kwa Kiingereza) . Iliwekwa mnamo 2020-02-08 .

Viungo vya nje [ hariri | hariri chanzo ]