Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Leroy Carr
(
27 Machi
1905
-
29 Aprili
1935
) alikuwa
mwimbaji
wa
muziki
wa blues,
mtunzi
na mpiga
kinanda
nchini
Marekani
. Umaarufu na mtindo wake uliwavutia wasanii kama Nat King Cole na Ray Charles. Leroy Carr alijulikana sana kwa nyimbo yake ya "How Long, How Long Blues", rekodi yake ya kwanza iliyotolewa na Vocalion Records mnamo 1928.
[1]
[2]
[3]
[4]
[5]
|
Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
Leroy Carr
kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari
.
|