Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Lech Walesa
(
Kipoland
:
Lech Wał?sa
(inatamkwa [l?x va?w??sa]) (amezaliwa tar.
29 Septemba
1943
) alikuwa mfanbyakazi wa mameli na mwanasiasa ambaye amezoeleka kuwa kama kiongozi wa
Solidarity
na Rais wa zamani wa
Poland
. Mwaka wa 1983, alikuwa mshindi wa
Tuzo ya Nobeli ya Amani
.
Wał?sa alizaliwa mjini
Popowo
,
Poland
, mnamo tar. 29 Septemba ya mwaka wa 1943, kwa baba seremala na mkewe. Alihitimu elimu ya msingi na baadaye shule ya ufundi, kabla ya kuingia Lenin Shipyard (kampuni la ujenzi wa mameli) huko mjini
Gda?sk
(
Stocznia Gda?ska im. Lenina
, sasa hivi
Stocznia Gda?ska
) akiwa kama fundi wa masuala ya umeme mnamo mwaka wa 1970. Kunako mwaka wa 1969 amemwoa Bi.
Danuta Goło?
, na wawili hao sasa hivi wana watoto wanane. Mtoto wake wa kiume anaitwa
Jarosław Wał?sa
ni Mbunge katika bunge la Poland. Lech Wał?sa ni mt'iifu wa Kanisa Katoliki, na akasema kwamba imani yake imemsaidia daima akiwa na shida wakati wa harakati za
Solidarity
.
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
|
Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
Lech Wał?sa
kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari
.
|