Kurt Wuthrich (amezaliwa 4 Oktoba 1938 ) ni mwanakemia kutoka nchi ya Uswisi . Hasa anajulikana kwa kuchunguza aina fulani ya spektroskopia . Mwaka wa 2002 , pamoja na John Fenn na Koichi Tanaka alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia .