Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kioromo-Magharibi
(pia
Kigalla
) ni
lugha ya Kiafrika-Kiasia
nchini
Ethiopia
inayozungumzwa na
Waoromo
. Mwaka wa 1994 idadi ya wasemaji wa Kioromo-Magharibi nchini Ethiopia imehesabiwa kuwa watu 8,920,000. Pia kuna wasemaji 2,200 nchini
Misri
. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kioromo-Magharibi iko katika kundi la Kikushi.
|
Makala hii kuhusu mambo ya
lugha
bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
Kioromo-Magharibi
kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari
.
|