Kioromo-Magharibi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kioromo-Magharibi (pia Kigalla ) ni lugha ya Kiafrika-Kiasia nchini Ethiopia inayozungumzwa na Waoromo . Mwaka wa 1994 idadi ya wasemaji wa Kioromo-Magharibi nchini Ethiopia imehesabiwa kuwa watu 8,920,000. Pia kuna wasemaji 2,200 nchini Misri . Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kioromo-Magharibi iko katika kundi la Kikushi.

Viungo vya nje [ hariri | hariri chanzo ]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu .
Je, unajua kitu kuhusu Kioromo-Magharibi kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari .