한국   대만   중국   일본 
Kimisri - Wikipedia, kamusi elezo huru Nenda kwa yaliyomo

Kimisri

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kimisri kilivyoandikwa.

Kimisri ni lugha ya kale ya Misri . Kiliandikwa kwa kutumia hiroglifi .

Kilipoendelea kikaja kuwa lugha ya liturujia ya Kanisa la Misri ambayo inatumika hata leo katika ibada , ila si katika maisha .