Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kelidona
(
Cicoli
,
Abruzzi
,
Italia
,
1077
hivi -
Subiaco
,
Lazio
,
Italia
,
13 Oktoba
1152
) alikuwa
bikira
Mkristo
aliyeishi miaka 52 kama
mkaapweke
karibu na
monasteri
ya
Wabenedikto
ya Subiaco
[1]
.
Tangu kale anaheshimiwa na
Wakatoliki
kama
mtakatifu
.
Sikukuu
yake huadhimishwa
tarehe
ya
kifo
chake
[2]
.
|
Makala hii bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuiongezea habari
.
|