Karne ya 8

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Karne ya 8 ilikuwa kipindi cha miaka mia moja kati ya 701 na 800 . Kikamilifu kilianza tarehe 1 Januari 701 na kuishia 31 Desemba 800. Namba zake zinafuata hesabu ya miaka " baada ya Kristo ".

Kama kila " karne " ni kipindi kinachohesabiwa kwa hiari ya kibinadamu kwa sababu ni mgawanyo wa kalenda tu: katika hali halisi maendeleo na mabadiliko makubwa hayafuati migawanyo ya kalenda ya kibinadamu.

Kuna mambo mengi yaliyotokea wakati wa karne hii, kama haya yafuatayo.

Watu na matukio [ hariri | hariri chanzo ]

Karne : Karne ya 7 | Karne ya 8 | Karne ya 9
Miongo na miaka
Miaka ya 700 | 700 701 702 703 704 705 706 707 708 709
Miaka ya 710 | 710 711 712 713 714 715 716 717 718 719
Miaka ya 720 | 720 721 722 723 724 725 726 727 728 729
Miaka ya 730 | 730 731 732 733 734 735 736 737 738 739
Miaka ya 740 | 740 741 742 743 744 745 746 747 748 749
Miaka ya 750 | 750 751 752 753 754 755 756 757 758 759
Miaka ya 760 | 760 761 762 763 764 765 766 767 768 769
Miaka ya 770 | 770 771 772 773 774 775 776 777 778 779
Miaka ya 780 | 780 781 782 783 784 785 786 787 788 789
Miaka ya 790 | 790 791 792 793 794 795 796 797 798 799


Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu .
Je, unajua kitu kuhusu Karne ya 8 kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari .