John Hoyer Updike ( 18 Machi 1932 – 27 Januari 2009 ) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Marekani . Alipokea Tuzo ya Pulitzer ya Bunilizi mara mbili, mwaka wa 1982 kwa riwaya yake Rabbit is Rich , na 1991 kwa Rabbit at Rest .