Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Iyasu V
Iyasu V
(
4 Februari
1887
–
25 Novemba
1935
) alikuwa
mfalme
mkuu wa
Uhabeshi
kuanzia
mwaka
1913
hadi
27 Septemba
1916
. Alimfuata
babu
yake,
Menelik II
.
Jina
lake la
kubatizwa
lilikuwa
Kifle Yaqub
.
Kwa vile alipendekeza
imani
ya
Kiislamu
hakuvishwa
taji
na alizuliwa. Aliyemfuata ni
shangazi
yake,
Zauditu
. Hali ya
kifo
chake haijulikani. Kilitangazwa mwezi wa Machi
1936
tu.
|
Makala hii kuhusu
Kaizari
fulani wa
Uhabeshi
bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
Iyasu V
kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari
.
|