Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
'
Hiroshi Amano
(amezaliwa
11 Septemba
,
1960
) ni mwanafizikia kutoka nchi ya
Japani
. Hasa amechunguza dutu za nusu kipitishi na kubuni
diodi
ya kutoa
nuru
. Mwaka wa
2014
, pamoja na
Isamu Akasaki
na
Shuji Nakamura
, alikuwa mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Fizikia
.
|
Makala hii kuhusu mshindi wa
Tuzo ya Nobel
bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
Hiroshi Amano
kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari
.
|