한국   대만   중국   일본 
Glenn Feidanga - Wikipedia, kamusi elezo huru Nenda kwa yaliyomo

Glenn Feidanga

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Glenn Feidanga Ni mchezaji wa mpira wa kikapu wa Afrika ya Kati ambaye alicheza mpira wa kikapu katika chuoni Long Island Brooklyn Blackbirds. [1]

Kazi ya kimataifa [ hariri | hariri chanzo ]

Feidanga aliteuliwa katika kikosi cha awali cha Jamhuri ya Afrika ya Kati kwa AfroBasket mwaka 2015 na kocha mkuu Aubin-Thierry Goporo. [2]

Marejeo [ hariri | hariri chanzo ]

  1. "Sherene Williams - 2022-23 - Women's Track and Field" . Long Island University (kwa Kiingereza) . Iliwekwa mnamo 2022-09-02 .
  2. "Nakala iliyohifadhiwa" . Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2015-07-20 . Iliwekwa mnamo 2022-09-02 .