한국   대만   중국   일본 
Galilaya - Wikipedia, kamusi elezo huru Nenda kwa yaliyomo

Galilaya

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Moja ya sehemu za Galilaya

Galilaya (kutoka Kiebrania ????? ( ha-galil ), yaani "mzunguko" au "mkoa"; kiasili "galil ha-goyim - mkoa wa wapagani") ni mkoa maarufu kihistoria upande wa kaskazini mwa Israeli au Palestina .

Upande wa mashariki mpaka wake ni mto Yordani , ambao sehemu hiyo unaunda ziwa Genesareti (pia: bahari ya Galilaya).

Waisraeli walipotoka Misri na kuteka nchi ya Kanaani , katika mkoa huo walihamia watu wa ma kabila ya Dan , Zebuluni , Isakari na Naftali .

Galilaya ndio mkoa ambapo alikulia na kuanza utume wake Yesu , mwanzilishi wa Ukristo .

Kati ya miji na vijiji vya Galilaya vilivyotajwa katika Injili kuna: