Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Filomeno wa Ankara
(alifariki
Ankara
,
Galatia
, katika
Uturuki
ya leo,
270
/
275
) alikuwa
Mkristo
aliyekwenda Ankara kikazi akapata kufia
dini
yake huko katika
dhuluma
ya
kaisari
Aurelian
kwa kutupwa
motoni
halafu kupigiliwa
misumari
miguuni
,
mikononi
na
kichwani
[1]
Tangu kale anaheshimiwa na
Wakatoliki
,
Waorthodoksi
, na
Waorthodoksi wa Mashariki
kama
mtakatifu
mfiadini
.
Sikukuu
yao huadhimishwa
tarehe
29 Novemba
[2]
.
|
Makala hii bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuiongezea habari
.
|